Unaambiwa Kibarua Cha Kocha Maximo KMC Kuota mbawa Muda Wowote

Unaambiwa Kibarua Cha Kocha Maximo KMC Kuota mbawa Muda Wowote

 

BREAKING NEWS

Kocha wa KMC Marcio Maximo yupo kwenye wakati mgumu ndani ya klabu hiyo, na kwa taarifa tulizonazo, inawezekana kabisa muda wowote akafutwa kazi 😬⚽

Viongozi wa KMC hawajaridhishwa na mwenendo wa timu, ikiwemo msururu wa matokeo mabaya katika michezo ya hivi karibuni ambayo imeiacha klabu katika nafasi ya chini kwenye msimamo wa ligi 🏆

Post a Comment

0 Comments